Je! wajua kwamba mwanamke mjamzito anapaswa kufanya mazoezi kulingana na wiki alizofikia?
Ndio! ni kulingana na wiki.
kwa kitaalamu kipindi cha ujauzito wa mwanamke umegawanyika katika vipindi vitatu, na vipindi hivyo hutambulika kulingana na wiki alizofikia mwanamke mjamzito kwenye kipindi cha ujauzito wake.
Inapendekezwa kwamba mazoezi kwa wanawake wajawazito yafanywe kulingana na wiki ili asiweze kuadhiri ukuaji wa mtoto tumboni na pia kuadhiri afya ya mwanamke mjamzito kutokana na ufanyaji mbovu wa mazoezi. Wiki hizo zimegawanyika kulingana na wiki kama ifwatavyo;
- Trimester ya kwanza ni kwanzia wiki ya kwanza(1) mpaka wiki ya kumi na mbili(12)
- Trimester ya pili nu kwanzaia wiki ya kumi na tatu(13) mpaka wiki ya ishirini na sita(26)
- Trimester ya tatu ni kwanzia wiki ya ishirini na saba mpaka(27) mpaka kujifungua kwa mama mjamzito
- kipindi cha kwanza(first trimester)
Ndani ya kipindi hiki cha kwanzia wiki ya kwanza hadi wiki ya 12 mazoezi yanayoweza kufanyika ni .Yoga
.Mazoezi ya kutembea
.Kazoezi ya aerobics
.Kunyanyua vyuma vidogo
.Kuogelea
- kipindi cha pili(second trimester)
mazoezi yanayoweza kufanyika ni pamoja na .Mazoezi ya kujinyoosha
.Yoga
.Mazoezi ya kutembea
.Mazoezi ya kucheza muziki (mfano salsa)
- kipindi cha tatu( third trimester)
.Mazoezi ya kujinyoosha.
ANGALIZO! mazoezi ya tumbo hasa mazoezi ya situps na crunches hayashauriwi kufanywa hii ni kwajili ya kuepusha kuhatarisha maisha ya mtoto.
Kama umelipenda andiko hili basi gonga NZURI na kwa maswali au maoni zaidi basi tuandikie baada ya andiko hili, na pia kama ungependa kusoma andiko jengine kama hili basi jisajili kwa kuweka anuani yako kwenye linki ya SUBSCRIBE.
Pia waweza tuandikia kwa email yetu Kuafit08@gmail.com
Kwa number yetu ya Tigo +255 653 009 477
Instagram account yetu (KUAFITI), Facebook-(kuafit) na twitter-(kuafit
0 comments:
Chapisha Maoni