Kutokana na utafiti uliofanywa na kampuni za mitandao kama vile google na yahoo kwenye maswala ya afya yanayohusiana na wanawake imebainika kuwa kumekuwa na ongezeko la asilimia 70% ya watu wakitaka kujua njia ya kuweza kukaza maziwa yaliyo sinjyaa kulingana na rekodi ya kutoka mwaka 2001 mpaka 2017. Ni kweli usio pingika ya kwamba maziwa ya mwanamke ni moja wapo ya kivutio chake kwa jinsia ya pili (mwanaume), hivyo kusinyaa kwa maziwa ya mwanamke hupunguza mvuto na pia kwa mara nyingine huondoa kujiamini kwake.
Utafiti unaonyesha ya kwamaba kuna njia kuu mbili za kuweza kukaza maziwa ya mwanamke bila kuhitaji oparetion ambazo ni maozezi na massage kwa kutumia bidhaa asilia.
Mazoezi
- Pushups
- T-plank
Massage kwa kutumia bidhaa asilia
Massage ya maziwa hutumia bidha kama vile Olive oil, Matango na kiini cha Yai ambazo upatikanaji wake ni mrahisi kwenye jamii zetu
- Mafuta ya Olive
Olive ni mafuta yenye virutubisho vilivyo antioxidant ambvyo husaidia kukaza maziwa yaliyolala, mafuta hayo hutumika kwa kufwata maelekezo yafwatayo.
- Kwanza miminia mafuta yako mkononi na kisha sugua kwa mikono yako miwili mpaka joto litengenezeke
- Anza kukanda maziwa kwa kutokea chini ya ziwa kuelekea juu kwa mdaa wa dakika 15
- fanya hivyo kwa kipindi cha wiki 3 mpaka wiki 4
baada ya mdaa wa wiki nne mtu ataweza kuona mabadiliko mazuri akizingatia maelekezo.
- Matango na kiini cha yai
Matango ufahamika sana kwa virutubisho vyake kama vile lutein na carotene amabazo ni muhimu sana ikichanganya na kiini cha yai kwenye kusaidi kukaza maziwa ya mwanamke. mchanganyiko huu unaweza kufanyika kwa kufwata masharti yafwatayo
- Weka tango lenye ukubwa wa wastani kwenye mashine ya kusagia matunda(belender) na kisha changanyia ini la yai pamoja na kiwango cha kijiko kidogo cha mafuta yoyote asilia kama vile olive ama aloevera.
- saga mchanganyiko huo na kisha upake ukiwa una kanda maziwa kwa mda wa dakika 2 na kisha acha kwa mda wa dakika 30.
- Osha kwa maji ya baridi mpaka mchanganyiko huo utoke.
- Fanya zoezi hilo mara mbili kwa wiki ya kwanza na kisha mara moja moja kwa wiki zinazo fwata
Kama umeipenda andiko hili basi gonga NZURI na kwa maswali na maoni zaidi basi tuandikie baada ya andiko hili, na pia kama ungependa kusoma andiko jengine kama hili basi jisajili kwa kuweka anuani yako kwenye linki ya SUBSCRIBE.
Pia waweza tuandikia kwa email yetu Kuafit08@gmail.com
Kwa number yetu ya Tigo +255653009477
Instagram account yetu (KUAFITI), Facebook-(kuafit),
twitter-(kuafit)
0 comments:
Chapisha Maoni