Ni kweli kuwa watu wengi hutamani kupunguza uzito wa miili yao bali utafiti wa mitandaoni unadhiirisha ya kuwa watu wengi zaidi hutamani kujua ni mazoezi yapi yanayoweza kuwawezesha kuweza kupata miili mikubwa na pia kuongeza uzito.
Mtu kuongezeka uzito huitaji jitihada binafsi na nidhamu ya hali ya juu hasa pale panapo husiana na mazoezi. Mazoezi ya kuongeza mwili yapo ya aina nyingi sana bali ntagusia kwa namna mbili ambazo moja wapo inashirikisha utumiaji wa vifaa vizito visivyo mashine(free weights) kama vile dumbel na barbell, na nyingine isiyotumia vifaa vizito(calisthenics) kama vile pullups.
- Bali kabla ya kujua mazoezi husika ni vyema kujua maswala muhimu, kwenye ufanyaji wa mazoezi inapaswa kutambua kwamba mapumziko ni kitu cha msingi sana maana misuli huchoka na huitaji kupumzishwa ili kuona matokeo mazuri. \
- Inatakiwa kufanya mazoezi kwa kulenga kundi la misuli hususani kama vile (kifua,mikono,miguu na kadhalika) kwa siku moja kwa kila zoezi na sio kufanyisha misuli yote mazoezi kwa siku moja. hii husaidia misuli mingine iweze kupumzika.
- Fanya mazoezi kwa mda maalumu ikiwezekana tengeneza ratiba na sio kuzidisha masaa, hii inasaidia kuweza kupunguza uwezekano waku dhuru misuli.
- Mazoezi kwa makundi mbali mbali ya misuli yanyohusiana na uzito hupaswa kutafutiwa uzitu mabao utakao kuwa mkubwa ambapo utamfanya mtu kutumia nguvu njingi zaidi kuliko uzito wa kawaida katika mzunguko wa mwisho(last set) wa kila zoezi, hii husaidia sana kuongeza nguvu na kujenga misuli.
Mazoezi hayo ya kujenga mwili yapo mengi na yote yametofautiana kwa ufanyikaji wake kuligana na kundi lake yani kati ya Calesthenics na Free weights.
-Mazoezi ya free weights ambayo yanayoweza kufanyika kuongeza mwili ni kama vile...
- Zoezi la Deadlift
Zoezi hili linapaswa kufanyika angalau kwa hesabu ya kumi(10reps) kwa mizunguko mitatu(3set). Zoezi hili husaidia kujenga paja hasa sehemu ya nyuma(hamstring).
- Zoezi Bench press
Zoezi hili linapaswa kufanyika angalau kwa hesabu ya kumi(10reps) kwa mizunguko mitatu(3set). Zoezi hili laweza kufanyika kwa namna tatu mbayo ni kwa kuweka benchi kwa namna tatu muinuko(incline),mteremko(decline),kawaida(normal).zoezi hili ni hususani kwa wale wanaohitaji kuongeza ukubwa wa kifua.
Tricep carl huitaji mtu kunyoosha na kukunja mikono kutoka kwenye vwiko mpaka kwenye viganja vya mikono wakati ukiwa umenyanyua viwiko kuelekea juu, na zoezi hili linapaswa kufanyika angalau kwa hesabu ya kumi(6reps) kwa mizunguko mitatu(3set).
-Mazoezi ya calisthenics yanayoweza kumsaidia mtu kuweza kujenga mwili na kuongeza uzito ni kama vile...
Zoezi la chin-ups hufanywa kwa namna moja kama vili pull-ups bali utofauti wao ni kwenye ushikaji wa pahali pakujishikiza ambapo mkono unashikilia kwa kutokea nje na vidole kuelekea ndani
mazoezi haya yanapaswa kufanyika angalau kwa hesabu ya kumi(6reps) kwa mizunguko mitatu(3set)
.Umuhimu wa mazoezi haya ni kwamba husaidia kuvuta kifua cha juu( chini ya kidevu) na mgongo na pia kuongeza ukubwa wa mikono.
Mazoezi hayo yote yakifanyika kwa wakati ni rahisi kupata matokeo mazuri kwa mda usio pungua week nne
Kama umeipenda andiko hili basi gonga NZURI na kwa maswali na maoni zaidi basi tuandikie baada ya andiko hili, na pia kama ungependa kusoma andiko jengine kama hili basi jisajili kwa kuweka anuani yako juu kwenye linki ya KUJISAJILI.
Pia waweza tuandikia kwa email yetu Kuafit08@gmail.com
Kwa number yetu ya Tigo +255653009477
Instagram account yetu (KUAFITI), Facebook-(kuafit),
- Bicep na tricep carl
Tricep carl huitaji mtu kunyoosha na kukunja mikono kutoka kwenye vwiko mpaka kwenye viganja vya mikono wakati ukiwa umenyanyua viwiko kuelekea juu, na zoezi hili linapaswa kufanyika angalau kwa hesabu ya kumi(6reps) kwa mizunguko mitatu(3set).
-Mazoezi ya calisthenics yanayoweza kumsaidia mtu kuweza kujenga mwili na kuongeza uzito ni kama vile...
- Pull-ups na chin-ups
Zoezi la chin-ups hufanywa kwa namna moja kama vili pull-ups bali utofauti wao ni kwenye ushikaji wa pahali pakujishikiza ambapo mkono unashikilia kwa kutokea nje na vidole kuelekea ndani
mazoezi haya yanapaswa kufanyika angalau kwa hesabu ya kumi(6reps) kwa mizunguko mitatu(3set)
.Umuhimu wa mazoezi haya ni kwamba husaidia kuvuta kifua cha juu( chini ya kidevu) na mgongo na pia kuongeza ukubwa wa mikono.
- Squat
Mazoezi hayo yote yakifanyika kwa wakati ni rahisi kupata matokeo mazuri kwa mda usio pungua week nne
Kama umeipenda andiko hili basi gonga NZURI na kwa maswali na maoni zaidi basi tuandikie baada ya andiko hili, na pia kama ungependa kusoma andiko jengine kama hili basi jisajili kwa kuweka anuani yako juu kwenye linki ya KUJISAJILI.
Pia waweza tuandikia kwa email yetu Kuafit08@gmail.com
Kwa number yetu ya Tigo +255653009477
Instagram account yetu (KUAFITI), Facebook-(kuafit),
twitter-(kuafit)
0 comments:
Chapisha Maoni