Watu wengi hupenda kuwa na muonekano mzuri kwa kujenga miilii yao, na hasa kwa wanaume na wanawake wenye kutaka kuonekana na mvuto kwa jinsia ya pili. Mara nyingi kujenga huko kwa mwili huwa kwa namna mbili eidha kwa kupungua ama kwa kuongezeka, ambapo kwenye kuongezeka wengi hupendelea kunyanyua vyuma vizito.
Kujenga mwili ni jambo lenye changamoto nyingi, ambazo zinaeza kupelekea kukata tamaa hasa pale unaposhindwa kupata matokeo ya haraka uliyotazamia. Kujenga mwili kwa vyuma kunahitaji maarifa mbalimbali ya mazoezi ambayo yatakayo tumika kukuhakikishia kwamba matokeo unayoyatazamia yanawezekana kupatikana kwa wakati. Ingawa vyakula ni muhimu katika mazoezi lakini sitogusia, bali nitaongelea elimu ya mazoezi ambayo ni muhimu kuifahamu.
Maarifa haya yamegawanyika kwa vipengele vitatu ambavyo ni kama ifwatavyo;
- Jinsia
- Maumbile(genetic)
- Ufanyaji wa mazoezi
Kwa kuyatambua hayo basi inampasa mwanamazoezi yeyote anyayebeba vyuma kuwa na elimu hiyo na kuifanyia kazi ili kupata matokeo ya haraka.
Kama umeipenda andiko hili basi gonga NZURI na kwa maswali na maoni zaidi basi tuandikie baada ya andiko hili, na pia kama ungependa maandiko mengine kama haya basi jisajili kwa kuweka anuani yako juu kwenye linki ya KUJISAJILI
Kama umeipenda andiko hili basi gonga NZURI na kwa maswali na maoni zaidi basi tuandikie baada ya andiko hili, na pia kama ungependa maandiko mengine kama haya basi jisajili kwa kuweka anuani yako juu kwenye linki ya KUJISAJILI
0 comments:
Chapisha Maoni