Watu wengi hutamani kupunguza uzito unaosababishwa na utapia mlo nakuto kua na mda wakufanya mazoezi mara kwa mara, na pia utafiti unaonesha kua kupunguza kitambi na mafuta kwenye mwili ni jambo linalo leta changamoto kwa sababu watu wengi wanadai ni gumu.
Kutokana na utafiti uliofanywa na wataalamu wa nutrition(milo) ni kua jambo hilo lina wezekana kwa kutumia njia za asili ya matunda na chai, diet hio hutumika ndani ya week tatu ambapo matokeo yake ni rahisi kuonekana.
Fuata Maelekezo yafuatayo
- saa mbili asubuhi (08:00)am- kunywa maji ya vuguvugu + juice ya limao
- saa nne asubuhi(10:00) am - kunywa glass moja ya maji+juice ya chungwa (ama) ya apple
- saa sita mchana(12:00)am - kunywa kikombe kimoja chai ya green tea
- saa saba mchana(01:00)pm - maji ya baridi + juice ya carrot
- saa tisa mchana(03:00)pm - kikombe kimoja cha chai
- saa kumi na moja alasiri(05:00)pm - kunywa juice yoyote ya matunda asili.
- saa moja jioni(07:00)pm - kunywa kikombe kimoja cha green tea
- saa tatu jioni(09:00)pm - kunywa glass moja ya maji + juice ya mizabibu
- saa nne usiku(10:00)pm - kunywa maji ya vuguvugu + juice ya limao
Kama umeipenda andiko hili basi gonga NZURI na kwa maswali au maoni zaidi basi tuandikie baada ya andiko hili, na pia kama ungependa kusoma andiko jengine kama hili basi jisajili kwa kuweka anuani yako kwenye linki ya SUBSCRIBE.
Pia waweza tuandikia kwa email yetu Kuafit08@gmail.com
Kwa number yetu ya Tigo +255653009477
Instagram account yetu (KUAFITI), Facebook-(kuafit) na twitter-(kuafit)
14 comments:
Kama una tumbo la chini utalipunguzaje kwa mazoezi na Chakula?
Swali zuri SARA!, Tumbo la chini mara nyingi hua ni sehemu ambayo huwasumbua sana watu kwenye kupungua na hua inahitaji jitiada zaidi kuliko tumbo la juu.......
Hivyo basi ingelikua vyema kama inawezekana kufanya mazoezi mengi ya tumbo (crunches na donkey kicks) ili kusaidia kupunguza tumbo na hayo yote huenda sambamba na lishe unayokula .
kwa taarifa kuhusu lishe basi kaa tayari kwa kua karibini nitatoa jarida kuhusu ain ya vyakula kulingana na miili
upo vizuri bro itbid nikutafute uje uwe couch wangu
Unakaribishwa sana #Ebenezer malamsha, Na kwa Saudi usisite kutuandikia ata kwa email yet ya Kuafit08@gmail.com
Mimi Nina tumbo la chini je hiyo diet itanisaidia
Kwaiyo ukifanya diet hii huwezi kula chakula?
Dawa asili ya kutoa kitambi bila usumbufu 0744903557 tanga
Maji moto yanapunguza kitambi na uzito
Ndio Bali inategemea na kiwango cha maji unachokunywa ila iliuweze kupata matokeo mazuri kwenye kupunguza uzito nashauri utumie diet Yetu ambayo itakusaidia kupunguza kilo 10 na zaidi ndani ya wiki nanae
Diet hii ni mpangilio wa vyakula ambavyo hupatikana kirahisi ambapo utaitumia ndani ya wiki saba
Kwa mujibu wa diet hiyo yan ni kwamba hakuna kula chakula zaidi ya vimiminika tu?
Na mtu mwenye ulcers inamfaa pia?
Kwa huo mpangilio wa chakula inamaana hautaruhusiwa kula je watu wenye vidonda vya tumbo wanafanyaje lakini pia kwa mtu kuto kula chakula kizito je haiwezi kumsababisha mtu kuto kupata choo ??
Hatuwashauri Watu wenye vidonda vya tumbo watumie mpangilio huu maana unaweza kuwaletea shida zaidi .....Ila wanaweza tumia Diet zetu ambazo tunatoa kwa Bei nafuu
Ndio
Chapisha Maoni