Ndio inawezekana! njia zipo mbalimbali za kupunguza kwanza unapaswa kujua sababu kuu yakupta manyama uzembe. Njia kuu ya kupata mwili wa namna hyo ni kama ifwatavyo
- kula kupita kiasi
- kula vyakula vyenye mafuta mengi.
- kunywa vinywaji vyenyekaloie kubwa kama vile (soda na bia)
- kula nyama nyekundu kama nyama za ( ngombe na ngurue)
- kutokufanya mazoezi mara kwa mara na pia kuto kupenda kujishughulisha.
- kunywa maji mengi
- kutumia dakika zisizo chini ya arobaini kufanya zoezi kama( kutembea pahali parefu ama kukimbia)
- kupunguza kula vyakula visivyo na ulazima( kula baada ya chakula cha usiku).
- kupunguza kula vyeakula vyenye calorie nyingi na pia vyenye protini, wanga na pia mafuta
- kula kwa wakati sahihi, usile ilimradi.
- napia penda kutazama afya yako mara kwa mara ilikujua maendeleo yako.
0 comments:
Chapisha Maoni